Katika blogu hii, pamoja na mambo mengine, utapata habari mbalimbali, masomo, ushauri na chakula cha kiroho!
Monday, August 2, 2010
KARIBUNI
Ninayo furaha kubwa kuwakaribisha watu wote katika blogu hii mpya ya Kikristo. Jambo moja nina hakika nalo, kwamba ziko blogu nyingi za Kiksrito ambazo umekuwa ukijengwa kwa hizo, tunachofanya sisi kwenye blogu hii ni kujiunga na Watumishi wengine ambao walianza kazi ya kufundisha na kuhubiri kwa kutumia Internet.
Tunawahakikishia kwamba kila kitu kitakwenda sawasawa na vile BWANA alivyokusudia. Ombi letu ni hili, kila wakati ambapo utakuwa umebarikiwa na huduma hii, mpe Mungu Utukufu na kisha nena waambie wengine!
Ni mimi Kiongozi wa timu nzima ya lisharoho.blogspot.com kwa niaba ya wenzangu,
Daniel R. Gingo
Tunawahakikishia kwamba kila kitu kitakwenda sawasawa na vile BWANA alivyokusudia. Ombi letu ni hili, kila wakati ambapo utakuwa umebarikiwa na huduma hii, mpe Mungu Utukufu na kisha nena waambie wengine!
Ni mimi Kiongozi wa timu nzima ya lisharoho.blogspot.com kwa niaba ya wenzangu,
Daniel R. Gingo
MUNGU AZIDI KUTUBARIKI!
Subscribe to:
Posts (Atom)